Tabia za Nyota

Unajimu au astrolojia ni elimu juu ya uhusiano kati ya nyota na maisha ya binadamu duniani. Wanazuoni wa unajimu wanaeleza ya kwamba nyota zinaathiri maisha ya watu na matukio kama amani, vita au maafa. Mahusiano haya hayajaweza kuthibitishwa na sayansi ya fizikia au sayansi nyingine. Alama za nyota 12 ni msingi wa falsafa hii ya unajimu.
Astrologia imekuwa ikitumika kwa miaka mingi lakini siku zote imekuwa ikipata upinzani mkubwa toka kwa wana sayansi.
Astrolojia ina misingi tokea enzi za zamani wakati sayansi ilipokuwa ya chini na imani za kiroho na kiungu zikiwa za kiwango cha juu katika jamii nyingi.
Baadhi ya tafiti zilizofanywa kuchunguza usahihi wa astrolojia unaonyesha kuna usahihi wa asilimia kama 3o tu. Hii si haba,kuna ukweli basi katika hili japo bado kuna upinzani mkubwa toka katika ulimwengu wa sayansi ya kisasa

Tabia za Watu na Alama za Nyota

Alama za nyota zinabashiri tabia na haiba ya binadamu katika dunia. Mpangilio au nafasi ya sayari katika mzunguko wake angani unaaminika kuleta athari kwa binadamu na matukio katika dunia.
Kuna alama 12 za kiastrolojia. Kila moja ina mvuto wa nguvu wa kipekee toka katika nyota.

Alama hizi ni kama ifuatavyo:
  1. Waliozaliwa Feb 19 – Machi 20  wana nyota ya Samaki (Pisces)
  2. Waliozaliwa Machi 21 – Aprili 19 wana nyota ya Kondoo (Aries)
  3. Waliozaliwa Aprili 20 – Mei 21 wana nyota ya Ng’ombe (Taurus)
  4. Waliozaliwa Mei 22 – Juni 20 wana nyota ya Mapacha:(Gemini )
  5. Waliozaliwa Juni 21 – Julai 22 wana nyota ya Kaa(Cancer)
  6. Waliozaliwa Julai 23 – Agosti 22 wana nyota ya Simba(Leo)
  7. Waliozaliwa Agosti 23 – Sept 22 wana nyota ya Mashuke(Virgo)
  8. Waliozaliwa Sept 23 – Okt 22 wana nyota ya Mizani (Libra)
  9. Waliozaliwa Okt 24- Nov 21 wana nyota ya Ng’e (Scorpio)
  10. Waliozaliwa Nov 22- Des 21 wana nyota ya Mshale (Sagittarius)
  11. Waliozaliwa Des 22 – Jan 19 wana nyota ya Mbuzi(Capricorn)
  12. Waliozaliwa Jan 20 – Feb 18 wana nyota ya Ndoo (Aquarius)

Makundi ya Alama za Nyota:

Alama hizi 12 za nyota zinagawanyika katika sehemu kuu 4 zijulikanazo kama:
  • Moto:Yenye matamanio ya mafanikio au makuu,dadisi
  • Maji:Yenye kubadilika na yenye uwezo wa ufahamu wa ndani
  • Hewa:Imara na yenye kukuza au kuendeleza
  • Udongo:Yenye elimu au uwezo wa kutambua na yenye kuhamasisha
Hizi ni sehemu nne zinazoongoza astrologia. Kila kimojawapo kinabeba tabia fulani.
Alama hizi 12 za nyota zimegawanyika kama ifuatavyo:
  • Moto: Kondoo, Simba,Mshale
  • Maji: Ng’e, Samaki, Kaa
  • Hewa: Mapacha, Mizani, Ndoo
  • Udongo: Ng’ombe,Mashuke,Mbuzi
Kila alama ya nyota 12 zimegawanyika pia katika makundi mengine matatu ambayo ni:
  • Yenye Umuhimu au Msingi “Cardinal”: Kondoo, Kaa,Mizani,Mbuzi
  • Yenye Kubadilika “Mutable”: Ng’ombe, Simba, Ng’e na Ndoo
  • Isiyobadilika “Fixed”: Mapacha, Mizani, Mshale na Samaki
 Alama ambayo iko katika moto na iko katika kundi la msingi huwa na tabia za upinzani na ubishani wa hali ya juu kama Kondoo
Alama ambayo ipo katika kundi la Udongo na Kubadilika huwa na tabia za utulivu wa hali ya juu kama Ng’ombe.


Haiba na Tabia za Alama za Nyota

1 Nyota ya Kondoo


 “Mimi KwanzaMimi nasema, mimi nimeamua
  • Ni mwenye maamuzi yasiyopinda na mtendaji mzuri wa kazi.
  • Anategemea makuu juu yake mwenyewe na kutoka kwa wengine
  • Mwenye kujitegemea na mwenye ari ya hali ya juu
  • Anauthubutu wa kujaribu mambo makubwa
  • Mwenzilishi wa mambo na mbunifu
  • Kiongozi
  • Muongeaji
  • Ni mwenye hisia kali na asiye na uvumilivu mkubwa.
  • Mwaminifu kwa marafiki na familia
  • Anajali mpenzi wake na mwenye hisia kali za mapenzi

2 Nyota ya Ng’ombe

 “Nafanya ninachokipenda” Nimepata.

  • Ni mwenye nguvu na mstahimilivu kimwili na kiakili
  • Makini na muangalifu
  • Ana kiburi na asiyekubali kushindwa kirahisi
  • Mstahimilivu
  • Mwenye kutegemewa
  • Ni mgumu kubadilika
  • Anapenda vitu vizuri na vya thamani
  • Unapenda urembo na vitu vya kupendeza
  • Mwenye hisia zilizofichika
  • Huenda akaonekana mbinafsi lakini ni wenye kutoa wakiwa na mali au fedha.

3 Nyota ya Mapacha

  Ninafikiri, Nadhani “Ninapanga” Ndugu zangu

  • Ni mwenye kipaji kikubwa,mwenye kubadilika na anayechoka haraka na kukata tamaa
  • Anafikiri kwa haraka na mcheshi
  • Ni mwasilianaji mzuri
  • Ni mtu anayependa watu na mwenye kupenda mabadiliko.
  • Mwenye kuamua kwa akili na mbunifu
  • Hana utulivu
  • Ana mipango na malengo makubwa
  • Mwenye kubadilika kirahisi

4 Nyota ya Kaa



 Ninahisi, Nasita, Nakwama
“Nina wasiwasi kuhusu Jambo”Naogopa
  • Anapenda kukaa nyumbani na kuwa na makazi mazuri yenye kumpautulivu ,usalama na amani
  • Anapenda marafiki na familia. ANanpenda kufuatilia historia ya ukoo
  • Hisia zake ni za wazi na ni rahisi kujulikana
  • Ana huruma
  • Ni mwangalifu
  • Mkimya na 

5  Nyota ya Simba

 Nitafanya, Nitaanza
“Najifanya” Nitasingizia

  • Kama alivyo simba ni jasiri na mwenye uthubutu.
  • Anapenda kuonekana na watu
  • Sanaa ni mojawapo ya maeneo ambayo anayamudu na ambayo yanamfanya afanikiwe
  • Wana maamuzi mazuri na ni waigizaji mahiri.
  • Ni wenye moyo wa kutoa na wenye upendo mkubwa
  • Ni viongozi wazuri na wenye nguvu
  • Mwenye matumaini mazuri
  • Mwenye kuheshimika
  • Mshindani
  • Mpangiliaji mzuri wa mambo ya kufanya
  • Mwenye mvuto

6 Nyota ya Mashuke


 Ninasoma, Nasikitika, nakula, naumwa,Naonewa
“Nina khofu” nitakunywa, nasingiziwa, napoteza, nakunywa dawa, kelele nyingi.
  • Ana mategemeo makubwa juu yake mwenyewe na kutoka kwa watu wengine
  • Ni mwenye ujuzi na mwenye mafanikio makubwa kazini
  • Ni mchunguzi na mdadisi wa mambo na mwenye kufanya kitu kimoja kwa wakati mmoja.
  • Wapangili wazuri wa muda na watekelezaji
  • Ni mdadisi na mbishi katika kuhakikisha mambo yanafanyika kwa ukamilifu.
  • Ni wafanya kazi wenye umakini na ni waangalifu katika kazi zao.
  • Wanajali afya

7 Nyota ya Mizani

 Ninashirikiana, Nakusanya, Naimba,Napenda, Nakumbatia 
“Nafanya mambo nisiyoyapenda” Nachumbia naunganisha.
Ni alama ya hewa. Mwenye nyota ya mizani anatumia muda mwingi katika kuleta usawa na haki na kusuruhisha migogoro.
Mizani anatumia akili zaidi kuliko nguvu za mwili.
  • Husimamia haki na usawa
  • Anapenda sanaa na urembo
  • Wabunifu wa sanaa
  • Ni mpenzi wa muziki
  • Ni muwazi katika kuonyesha upendo
  • Ana ustadi wa kukabiliana na mambo ya kijamii
  • Anatoa matazamo wake pale tu anapochokozwa au anapoguswa kihisia
  • Mpenda amani
  • Wenye mvuto wa kupendwa

8 Nyota ya Ng’e

 Nataka kufanya, Natamani, Nadhibiti. “Ninashuku”Ninahusudu.
  • Anapenda mambo makubwa na maisha ya mazuri
  • Mjasiriamali namwenye uwezo wa kukabiliana na vizingiti vikubwa
  • Anapenda malumbano makali
  • Wanatumia nguvu
  • Jasiri
  • Wastahimilivu
  • Washindani
  • Wanauwezo ,
  • Wachunguzi wa mambo
  • Wasiri
  • Ni mpenzi mzuri na mwenye tabia za umiliki
  • Wanajitegemea
  • Ni wenye maamuzi

9 Nyota ya Mshale

 

 Ninaelewa, Nafahamu yote, hakuna Nisilojua

  • Mwanafalsafa na mkusanyaji wa habari
  • Mwenye uwezo mkubwa kiakili ma anapenda changamoto
  • Ni mwenye nguvu ambazo humfanya mara zote aende mbele.
  • Ni mwenye kupenda uhuru
  • Ni mpenzi mwenye mvuto na anapenda kumridhisha mpenzi wake
  • Rafiki
  • Mwenye ari
  • Hawana utulivu
  • Waaminifu na wakweli
  • Wanapenda safari

10 Nyota ya Mbuzi



 Ninatumia, Nimezoea, naongoza “Sijiamini” Nimebanwa
  • Mwenye malengo , mipango na matarajio makubwa
  • Ni mtatuaji wa matatizo kwa vitendo na mapangiliaji mzuri wa mambo-Mtendaji
  • Ni mwenye mipango na mfuatiliaji wa mipango yake
  • Si mshirikishaji mzuri mpaka aombwe au asukumwe.
  • Ni mpenzi mzuri na rafiki wa maisha
  • Mgumu kubadilika
  • Mbishi na asiyekubari kushindwa kirahisi
  • Mfanyabiashara
  • Mwajibikaji

11 Nyota ya Ndoo

 Ninajua, Nathibitisha “Usinitegemee”Nitakwepa
  • Ni mbinafsi na asiyependa kufuata utaratibu au sheria.
  • Wakipekee
  • Anaejitegemea na hupenda kuwa peke yake
  • Mwenye huruma
  • Muona mbali
  • Mwenye ufahamu wa hali ya juu nma mbunifu
  • Anafanya marafiki wa aina mbalimbali
  • Ana utu na mwenye kudai haki
  • Anapendwa na watu na anategeneza urafiki kwa haraka
  • Anapenda sanaa na maisha ya anasa.

12 Nyota ya Samaki

 Ninaamini, Ninaota “Ninakwepa”
  • Ni mkweli na mwenye hisia nzito
  • Hana ubinafsi
  • Ni mpenzi mwaminifu na rafiki
  • Mpenda amani
  • Ana huruma
  • Anajitoa
  • Wana ndoto
  • Wabunifu
  • Wana aibu


17 comments

Am leo but I like so much fun and travel what's up with this?

Mtu mwenye nyota ya mbuzi anaweza kumuoa mtu mwenye nyota ya ng'ombe na ndoa ikadumu?

kuna maelezo mazuri lakini hamjachambua kiundani zaid

Vyote Ni vya kweli katika haya asant sana

Mm ninanyota ya samaki kweli vyote hivyo ninavyo

Kwenye nge hapo nadhani ndio umeenda chaka.

𝗞𝗔𝗡𝗨𝗡𝗜 𝗦𝗔𝗕𝗔 𝗭𝗔 𝗨𝗧𝗔𝗝𝗜𝗥𝗜 𝗡𝗔 𝗠𝗔𝗙𝗔𝗡𝗜𝗞𝗜𝗢 𝗞𝗔𝗧𝗜𝗞𝗔 𝗠𝗔𝗜𝗦𝗛𝗔 𝗡𝗔 𝗨𝗧𝗔𝗙𝗨𝗧𝗔𝗝𝗜 𝗪𝗔𝗞𝗢.

KATIKA SAFARI YA MAFANIKIO TUNAPITIA MENGI ILI TUWEZE KUFANIKIWA LAKINI WENGI WETU KUNA MAMBO MACHACHE SANA WENGI WETU TUNAYADHARAU NA KUMBE NDIO CHANZO CHA MAFNIKIO YETU.

N.B KWA WALE WAHITAJI WA PESA ZA NDAGU au MAJINI kwa mudamfupi nipigie DOKTA MDIRO +255 742162843

HAYA NI MAMBO 7 YAKUZINGATIA KATIKA SAFARI YAKO YA MAFNIKIO

i) Wazazi wako wakiwa wamekulea mpaka ukawa mkubwa wafumbua macho unawaona akikisha usiwafanye wakajuta kukuzaa asilimia kubwa wazazi wanakuwa na tabu sana ila zile tabu zao ndio zinazokufanya wewe una aminiwa na watu na unaeshimika na kujieshimu

Kwaiyo jitahidi sana kuwa nao vizuri kuna wengi maisha yao wanaishi kwa shida chanzo ni utofauti baina ya wazazi wao

Ukiona wazazi wako wanatabu sana usiwajibu vibaya wewe kaa nao mbali ila wape majukumu yao unacho fanya kuwaona nakurudi ulipo apo utaona mambo yako yatakuwa vizuri sana

ii) JAMBO LA PILI
Akikisha unatunza uzao wako yani ukijua ni mtoto ni wako basi jitahidi sana kutoa uduma ata kidogo ulicho nacho lakini udumia usiache uzao wako unateseka na njaa wewe una kula maisha aisee fahau

Kila mtoto wako anavyo kuwa ndio mambo yako yanaaribika usipo udumia kwaiyo ukiwa waitaji kufanikiwa zaidi jali uzao wako

iii) JAMBO LA TATU
ukiwa umeoa au umeolewa usitoe talaka au kuomba talaka kabla mwenzio ayupo tayari kwa muda huo fahamu ukiomba talaka au akikupa talaka bila bila sababu ya msingi yeye tu ana matamanio ya kidunia basi anamuda atapoteza muelekeo wa maisha yake

iv) UKIWA WAPATA PESA
ukiwa wapata pesa alafu utoi sadaka basi kufikia kwenye ukuu utachelewa sana mana mana pesa badala ya kutoa kwa iyari yako utatoa kwa matatizo kwaiyo jitahidi icho icho kidogo toa sadaka kwa wenye uitaji

v) USIMZULUMU MTU
kama wataka kufika mbali kwenye mafanikio yako usimzulumu mtu ata kwa uchache wa kitu usifanye ivyo itakugarimu kiasi kikubwa

vi) USIZARAH MILA
ukiwa kwenu kuna mambo ya mila mzimu tambiko jitahidi kufatilia sana aya mambo yanarudisha nyuma sana usipo yawahi mapema

vii)USIWE WA NAMNA
1)ikiwa ujafanikiwa jitahidi sana usiwe mvivu kufanya kazi usiwe muhuni usiwe mwenye chuki na asira zisizo za msingi usiwe na tamaa nyoa vizuri vaa nguo za eshima na usiige maisha ya watu.

Kwanza kabisa nataka kukwambia kwamba hakika utajiri ni hazina kutoka kwa mwenyezi mungu na pia kuna viumbe alio wapa mamlaka na nguvu ya kumiliki mali)

MPAKA MASAA 72(SIKU3) PAPO HAPO KWA MASHARTI MAALUM KIKUBWA UWE MWAMINIFU, JASILI NA UWE NA UTAYARI WA KUPOKEA MASHARTI YA KUTUNZA SIRI HII SIO MZAHA......
KUMBUKA MALIPO NI BAADA YA KUFANIKIWA
kwa maelezo kamili piga namba +255742162843

(KWANINI USUMBUKE,HACHA KUTANGATANGA, NA MAISHA NI MAFUPI PUUZA UONGOFU WA KUWA MTU KUWA TAJIRI NI DHAMBI WAKATI AKUAMBIAE YEYE NI TAJIRI (Tumia ufahamu kujinasuaUTAJIRI WA NDAGU(MASHARTI) NDANI YA MASAA 72(SIKU TATU) PAPO HAPO KIKUBWA UWE MWAMINIFU, JASILI NA UWE NA UTAYARI WA KUPOKEA MASHARTI YA KUTUNZA SIRI HII SIO MZAHA......

NAITWA DR, MDIRO piga 0742162843. KAMA UNAITAJI PESA ZA MAJINI AU NDAGU YA MALI AU ULINZI KWA MALI YAKO
(HUSITUME SMS PIGA SIMU KUHEPUKA MATAPELI)
MATIBABU MENGINEYO NI KAMA UTULIVU KATIKA NDOA, AU KUMVUTA UMPENDAE, KUONDOA MIKOSI, MABALAA, KUOSHA NYOTA, KUITAMBUA NYOTA YAKO NA ASILI YA KAZI YAKE, KAMA UNASUMBULIWA NA MAJINI MAHABA NA SHIDA YA UZAZI.
NIPIGIE 0742162843. KIKUBWA NI KUSIKILIZA NA KUFATA MASHARTI. ANGALIZO USITUME SMS PIGA NA UWE NA NIA.
(kuhusu utajiri au pesa) KABLA YA KUPIGA SIMU ZINGATIA YAFUATAYO
1. uwe una umri wa miaka 18+
2. uwe tayari kupokea masharti yote
3.uwe na uwezo wa kutunza siri
4. uwe jasiri wa kupokea taarifa yoyote

KWA MAWSILIANO ZAIDI KUHUSU MATATIZO MBALIMBALI YA TIBA ASILI NA TIBA MBADALA, PETE MALI ZA NDAGU NA MAJINI N.K

DOKTA MDIRO Call/whatsup +255 742162843.


EmoticonEmoticon